WAANDISHI WA HABARI WAPEWA ELIMU YA KILIMO MAONESHO YA NANENANE

Na Barnabas Kisengi Dodoma Waandishi wa Habari Mkoani Dodoma wanetembelea Banda la Dayosisi ya Tanganyika (DCT) kupatiwa elimu ya kilimo cha mazao na mbogamboga ili kuweza kupata elimu ya kilimo biashara. Akizungumza na wanahabari hao Afisa Kilimo kutoka Dayosisi ya Tanganyika (DCT) Bi SALOME KIMAMBO ameseme kilimo wanachofundisha wakulima wengi ni kilimo biashara kwakuwa unakuwa